mazingira, bofya hapa
this blog is multipurpose which focuses on all aspects of social, economic, and political issues in and outside tanzania
Monday, February 3, 2014
Sunday, February 2, 2014
Mh. rais JK. amesema anatarajia kutangaza majina ya wajumbe wa bunge la katiba mpya ndani ya siku mbili zijazo. amesema hayo wakati akihutubia wananchi wa mbeya leo kwenye siku ya kusherehekea kuzaliwa kwa CCM yaliyofanyika kitaifa mkoani hapa. aidha amesema kuwa bunge hilo linatarajiwa kuanza wiki ya tatu ya mwezi huu wa pili.
Subscribe to:
Posts (Atom)